Monday, July 11, 2011

KWIKWI YA UMEME TAIFA SERIKALI YAUNDA TUME

Serikali imeunda tume ya watu 4 kuchunguza kukatika umeme uwanja wa taifa. Tume hiyo imepewa siku 7 kukamilisha uchunguzi wake. Hata hivyo serikali imewaomba radhi mashabiki wa kandanda nchini na Africa mashariki kwa tatizo hilo.

No comments:

Post a Comment