Je unataka kutangaza nasi? Wakati ni huu pata nafasi ya bure kwa mwezi mzima. Tuma ombi lako kwa info@kilimanjarorangersfc.com
Tuesday, July 12, 2011
WALIOSEPA RED SEA WAOMBA HIFADHI
Wale wachezaji 13 wa timu ya soka ya red sea ya eritrea walioripotiwa kutorokea nchini wamejisalimisha wizara ya mambo ya ndani na kuomba hifadhi ya ukimbizi.
No comments:
Post a Comment