Mzunguko wa kwanza utakayo kuwa na mechi 12 za nyumbani na ugenini kati ya tarehe 11 hadi 15 mwezi wa Novemba, ambapo washindi watasonga mbele katika patashika za mzunguko wa pili.
Seychelles na Kenya
Guinea Bissau na Togo
Djibouti na Namibia
Mauritius na Liberia
Visiwa vya Comoro na Msumbiji
Equatorial Guinea na Madagascar
Somalia na Ethiopia
Lesotho na Burundi
Eritrea na Rwanda
Swaziland na jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo
Visiwa vya Sao Tome na Principe na Congo
Chad na Tanzania
- - -
Kwa makundi nchi hizo zimepangwa hivi:
Kundi A
Afrika Kusini
Botswana
Jamhuri ya Afrika ya Kati
Somalia na Ethiopia
- - -
Kundi B
Tunisia, Visiwa vya Cape Verde, Sierra Leone, Equatorila Guinea na Madagascar
- - -
Kundi C
Ivory Coast
Morocco
Gambia
Chad/Tanzania
- - -
Kundi D
Ghana
Zambia
Sudan
Lesotho/Burundi
- - -
Kundi E
Burkina Faso
Gabon
Niger
Sao Tome and Principe/Congo
- - -
Kundi F
Nigeria
Malawi
Seychelles/ Kenya
Djibouti/Namibia
- - -
Kundi G
Egypt
Guinea
Zimbabwe
Comoros Islands/Msumbiji
- - -
Kundi H
Algeria
Mali
Benin
Eritrea/ Rwanda
- - -
Kundi I
Cameroon
Libya
Guinea Bissau/Togo
Swaziland/Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo
- - -
Kundi J
Senegal
Uganda
Angola
Mauritius/Liberia
Mechi zitachezwa kati ya tarehe 1 mwezi wa Juni, 2012 na tarehe 10 mwezi wa Septemba 10, 2013.
Washindi wa kila kundi watasonga mbele hadi raundi ya tatu, wakicheza mechi za nyumbani na ugenini kati ya tareh 11 hadi 15 mwezi wa Oktoba, 2013 na washindi ndio watafuzu kucheza katika fainali za Kombe la Dunia mwaka 2014 nchini Brazil.
No comments:
Post a Comment