Friday, August 10, 2012

African Lyon yapata kocha mpya kutoka Argentina

Timu ya African Lyon imepata kocha mpya kutoka Argentina,Pablo Ignacio Velez na ameshawasili nchini tayari kuanza kuinoa timu hiyo na kuomba apewe muda wa kukisuka upya kikosi hicho huku akiahidi mabadiliko zaidi ya soka kwenye timu hiyo.

No comments:

Post a Comment