Saturday, August 11, 2012

KRFC kucheza fainali MKOMBOZI CUP leo

Timu ya Kilimanjaro Rangers FC leo itaingia uwanjani kucheza na Kitayosa
FC katika fainali ya MKOMBOZI CUP. Timu hiyo inayopewa nafasi ya kuchukua
kombe hilo ilizitoa timu za Machava katika robo fainali na kuitoa timu ya
TPC kwenye nusu fainali za mashindano hayo yanayofanyika katika viwanja
vya Memorial mjini Moshi.

1 comment:

Anonymous said...

Am NICAS and I have my football club known as KILIMANJARO FOOTBALL CLUB at the moment we are working on raising the talents in our academy and also building our 23000 thousand seating capacity stadium that will be allocated near the city centre but also a training ground at Marangu mtoni .my hope is that one day we can more strong teams from northern regions winning the VPL rather than always being simba and yanga...

Post a Comment