Chelsea imetangaza kuwa mchezaji kutoka Ghana Michael Essien atakaa nje kwa miezi sita akiuguza majeruha baada ya kuumia goti katika mazoezi. Hii ni mara ya tatu kwa mchezaji huyu kuumia na imepeleke kufanyiwa upasuaji. Kocha mpya wa Chelsea Villas-Boas ampa pole na kuomba apone haraka.
Monday, July 11, 2011
Essien nje miezi sita.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
ugua pole mjomba
Post a Comment