Thursday, July 28, 2011

SERGIO AGUERO NDANI YA MAN-CITY

Inasemekana kuwa mchezaji Sergio Aguero mwenye umri wa miaka 23 amekubali makataba wa miaka mitano, kwa kiasi cha pauni za Uingereza milioni £38m.Katika mtandao wa Tweeter Aguero alisema: " Mimi tayari ni mchezaji wa Man City. Nimefurahi kuwa na timu kuwa mji huu."

 

No comments:

Post a Comment