Timu ya SIMBA imepaa baada ya kupata ushindi mwembamba wa 1 – 0 dhidi ya Coastal Union ya Tanga na kufikisha point 6 wakati YANGA wamelazimishwa sare ya 1 – 1 dhidi ya Moro United. Matokeo mengine ni kama ifuatavyo.
COASTAL UNION 0:1 SIMBA
KAGERA SUGAR 1:1 VILLA SQUARD
POLISI 2:2 JKT RUVU
YANGA 1:1 MORO UTD
TOTO AFRICANS 1:0 RUVU SHOOTING
JKT Oljoro 1:0 MTIBWA SUGAR
Kwa habari na msimamo wa ligi kuu temebelea www.ligikuu.com
No comments:
Post a Comment